Rais Jakaya Kikwete
akijiunga na waombolezaji katika msiba wa Mbunge wa Viti Maalumu
(CHADEMA) Mh Regia Mtema leo January 15, 2012 nyumbani kwa marehemu
Tabata jijini Dar es salaam ambako Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda, Spika
Anne Makinda na Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe walikuwapo.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Chama Cha CHADEMA Mh
Freeman Mbowe wa tatu kutoka kulia pamoja na jamaa wa Marehemu Regia
Mtema.
Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda katikati pamoja na Spika wa Bunge Mh. Anne Makinda.
PICHA NA IKULU YA TANZANIA
No comments:
Post a Comment