Sunday, January 15, 2012

MSIKILIZE MBUNGE WA VITI MAALUM DK MARRY MWANJELWA JUU YA KUBORESHA MIUNDOMBINU

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr Marry Mwanjelwa(kushoto) akipewa utaratibu na maelezo kutoka kwa Muuguzi mata baada ya kutembelea wodi la akina Mama Wajawazito.


HITIMISHO:- 
Mahojiano ya moja kwa moja kati ya Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mbeya Dk Marry Mwanjelwa na Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Bomba FM Mbeya DJ Imma Boy, Kuhusiana na jinsi ya kutatua changamoto za ubovu wa Miundombinu na itikadi za kisiasa zinazoukabili Mkoa wa Mbeya.


Hata hivyo Bi Mwanjelwa alitoa pongezi kwa Bomba FM, 104.0 Mhz kwa kufuata maadili ya uhabarishaji pasipo ubaguzi au kuunga mkono upande fulani.

No comments:

Post a Comment