Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr Marry Mwanjelwa(kushoto)
akipewa utaratibu na maelezo kutoka kwa Muuguzi mata baada ya kutembelea
wodi la akina Mama Wajawazito.
HITIMISHO:-
HITIMISHO:-
Mahojiano
ya moja kwa moja kati ya Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mbeya Dk Marry
Mwanjelwa na Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Bomba FM Mbeya DJ Imma
Boy, Kuhusiana na jinsi ya kutatua changamoto za ubovu wa Miundombinu
na itikadi za kisiasa zinazoukabili Mkoa wa Mbeya.
Hata hivyo Bi Mwanjelwa alitoa pongezi kwa Bomba FM, 104.0 Mhz kwa kufuata maadili ya uhabarishaji pasipo ubaguzi au kuunga mkono upande fulani.
Hata hivyo Bi Mwanjelwa alitoa pongezi kwa Bomba FM, 104.0 Mhz kwa kufuata maadili ya uhabarishaji pasipo ubaguzi au kuunga mkono upande fulani.
No comments:
Post a Comment